Mwimbaji Alama Kante, amelazimika kuimba
huku akifanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe
kwenye koo lake ili madaktari wasiharibu sauti
yake.
Mwimbaji huyo kutoka Guinea mwenye
makazi yake nchini Ufaransa alipatiwa dawa za
kumfanya asisikie maumivu wala uchungu
wakati wote wa zoezi la upasuaji.
Kante alikuwa akiogopa kupoteza sauti yake
lakini daktari wake alipendekeza afanyiwe
upasuaji huku anaimba.
Kante ambaye kwa sasa amepata nafuu
amesema wakati upasuaji ukiendelea alihisi
kama yuko Senegal na wakati alipoamka na
kuzungumza tena madaktari na wauguzi
walifurahi kwakuwa wametimiza lengo lao.
Tuesday, 17 June 2014
DUNIA INA MAMBO JANANI, MWIMBAJI MMOJA AFANYIWA UPASUAJI HUKU AKIIMBA ILI KUILINDA SAUTI YAKE ISIHARIBIKE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
CAF kumuunga mkono INFANTINO Urais wa FIFA
Shirikisho la soka barani Afrika CAF linamuunga mkono Infantino Rais wa shirikisho la soka barani Africa (CAF) AHMAD AHMAD amesema shir...

-
Tuzo za VMA 2014 zimefanyika na mastaa wengi walifika kwenye hilo tukio. Listi ya mastaa hao iliongozwa na familia ya Jay Z na Beyon...
-
Luca Modric mchezaji bora wa mwaka wa FIFA Wameamua kumpa,ni baada ya kumdhurumu tuzo yake ya msimu wa 2009/10,mwaka huu wameona ai...
-
Mlinda mlango wa Derby Country akipangua mkwaju wa Phil Jones Timu ya DERBY COUNTY inayonolewa na nyota wa zamani wa CHELSEA, FRANK LAM...
No comments:
Post a Comment