Msikiti uliokuwa ukikarabatiwa umeporomoka nchini Somalia na kuwaua watu 15 na kuwajeruhi wengine 40.
Kisa hicho kilitokea katika msikiti mmoja wa mjini Mogadishu wakati wa ibada ya Ijumaa.
Hatahivyo
maelezo yalitolewa siku ya Jumamosi.Mamia ya watu walidaiwa kuwa ndani
ya msikiti huo wakati ulipoporomoka na wengine wanaaminika kuwa chini ya
vifusi vya jengo hilo la ibada.
Muhandisi mmoja aliyekuwa
akiufanyia ukarabati misikiti huo alikamatwa kwa tuhuma za uzembe,vyombo
vya habari vya eneo hilo vimeripoti.Mvua kubwa imenyesha katika eneo
hilo katika siku chache zilizopita.
Serikali ya Somalia inadhibiti
Mogadishu na miji mingine,lakini wapiganaji wa al-Qaeda wanaoshirikiana
na kundi la wapiganaji wa al-Shabab wanatawala maeneo mengi ya
mashambani.
Zaidi ya wanajeshi 22,000 wa Umoja wa Afrika na polisi wamepelekwa nchini humo kuilinda serikali
Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.
Polisi ya nchi hiyo imeripoti kuwa, watu wenye silaha wamemshambulia mkuu wa ofisi ya ardhi katika eneo la Melaky na kumuua pamoja na rafiki yake. Katika hujuma hiyo watu wengine kadhaa pia wamejeruhiwa. Polisi wamesema kuwa, washambuliaji hao walianza kufyatua risasi kuilenga gari iliyokuwa imembeba afisa huyo wa ardhi pamoja na watu wengine aliokuwa ameambatana nao. Habari zaidi zinasema kuwa, licha ya polisi kufika eneo la tukio mapema, lakini walishindwa kukabiliana na watu hao wenye silaha, huku wakitoweka bila ya kutiwa mbaroni. Polisi imetangaza kuwa inaendelea kuwasaka wahusika wa hujuma hiyo, ambayo hadi sasa bado sababu za utekelezwaji wake hazijulikani, ingawa masuala ya kisiasa yanatajwa kuwa moja ya sababu hizo.
Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.
Polisi ya nchi hiyo imeripoti kuwa, watu wenye silaha wamemshambulia mkuu wa ofisi ya ardhi katika eneo la Melaky na kumuua pamoja na rafiki yake. Katika hujuma hiyo watu wengine kadhaa pia wamejeruhiwa. Polisi wamesema kuwa, washambuliaji hao walianza kufyatua risasi kuilenga gari iliyokuwa imembeba afisa huyo wa ardhi pamoja na watu wengine aliokuwa ameambatana nao. Habari zaidi zinasema kuwa, licha ya polisi kufika eneo la tukio mapema, lakini walishindwa kukabiliana na watu hao wenye silaha, huku wakitoweka bila ya kutiwa mbaroni. Polisi imetangaza kuwa inaendelea kuwasaka wahusika wa hujuma hiyo, ambayo hadi sasa bado sababu za utekelezwaji wake hazijulikani, ingawa masuala ya kisiasa yanatajwa kuwa moja ya sababu hizo.
Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.
Polisi ya nchi hiyo imeripoti kuwa, watu wenye silaha wamemshambulia mkuu wa ofisi ya ardhi katika eneo la Melaky na kumuua pamoja na rafiki yake. Katika hujuma hiyo watu wengine kadhaa pia wamejeruhiwa. Polisi wamesema kuwa, washambuliaji hao walianza kufyatua risasi kuilenga gari iliyokuwa imembeba afisa huyo wa ardhi pamoja na watu wengine aliokuwa ameambatana nao. Habari zaidi zinasema kuwa, licha ya polisi kufika eneo la tukio mapema, lakini walishindwa kukabiliana na watu hao wenye silaha, huku wakitoweka bila ya kutiwa mbaroni. Polisi imetangaza kuwa inaendelea kuwasaka wahusika wa hujuma hiyo, ambayo hadi sasa bado sababu za utekelezwaji wake hazijulikani, ingawa masuala ya kisiasa yanatajwa kuwa moja ya sababu hizo.
Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.
Polisi ya nchi hiyo imeripoti kuwa, watu wenye silaha wamemshambulia mkuu wa ofisi ya ardhi katika eneo la Melaky na kumuua pamoja na rafiki yake. Katika hujuma hiyo watu wengine kadhaa pia wamejeruhiwa. Polisi wamesema kuwa, washambuliaji hao walianza kufyatua risasi kuilenga gari iliyokuwa imembeba afisa huyo wa ardhi pamoja na watu wengine aliokuwa ameambatana nao. Habari zaidi zinasema kuwa, licha ya polisi kufika eneo la tukio mapema, lakini walishindwa kukabiliana na watu hao wenye silaha, huku wakitoweka bila ya kutiwa mbaroni. Polisi imetangaza kuwa inaendelea kuwasaka wahusika wa hujuma hiyo, ambayo hadi sasa bado sababu za utekelezwaji wake hazijulikani, ingawa masuala ya kisiasa yanatajwa kuwa moja ya sababu hizo.
Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.
Polisi ya nchi hiyo imeripoti kuwa, watu wenye silaha wamemshambulia mkuu wa ofisi ya ardhi katika eneo la Melaky na kumuua pamoja na rafiki yake. Katika hujuma hiyo watu wengine kadhaa pia wamejeruhiwa. Polisi wamesema kuwa, washambuliaji hao walianza kufyatua risasi kuilenga gari iliyokuwa imembeba afisa huyo wa ardhi pamoja na watu wengine aliokuwa ameambatana nao. Habari zaidi zinasema kuwa, licha ya polisi kufika eneo la tukio mapema, lakini walishindwa kukabiliana na watu hao wenye silaha, huku wakitoweka bila ya kutiwa mbaroni. Polisi imetangaza kuwa inaendelea kuwasaka wahusika wa hujuma hiyo, ambayo hadi sasa bado sababu za utekelezwaji wake hazijulikani, ingawa masuala ya kisiasa yanatajwa kuwa moja ya sababu hizo.
Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.
Polisi ya nchi hiyo imeripoti kuwa, watu wenye silaha wamemshambulia mkuu wa ofisi ya ardhi katika eneo la Melaky na kumuua pamoja na rafiki yake. Katika hujuma hiyo watu wengine kadhaa pia wamejeruhiwa. Polisi wamesema kuwa, washambuliaji hao walianza kufyatua risasi kuilenga gari iliyokuwa imembeba afisa huyo wa ardhi pamoja na watu wengine aliokuwa ameambatana nao. Habari zaidi zinasema kuwa, licha ya polisi kufika eneo la tukio mapema, lakini walishindwa kukabiliana na watu hao wenye silaha, huku wakitoweka bila ya kutiwa mbaroni. Polisi imetangaza kuwa inaendelea kuwasaka wahusika wa hujuma hiyo, ambayo hadi sasa bado sababu za utekelezwaji wake hazijulikani, ingawa masuala ya kisiasa yanatajwa kuwa moja ya sababu hizo.
Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.
Polisi ya nchi hiyo imeripoti kuwa, watu wenye silaha wamemshambulia mkuu wa ofisi ya ardhi katika eneo la Melaky na kumuua pamoja na rafiki yake. Katika hujuma hiyo watu wengine kadhaa pia wamejeruhiwa. Polisi wamesema kuwa, washambuliaji hao walianza kufyatua risasi kuilenga gari iliyokuwa imembeba afisa huyo wa ardhi pamoja na watu wengine aliokuwa ameambatana nao. Habari zaidi zinasema kuwa, licha ya polisi kufika eneo la tukio mapema, lakini walishindwa kukabiliana na watu hao wenye silaha, huku wakitoweka bila ya kutiwa mbaroni. Polisi imetangaza kuwa inaendelea kuwasaka wahusika wa hujuma hiyo, ambayo hadi sasa bado sababu za utekelezwaji wake hazijulikani, ingawa masuala ya kisiasa yanatajwa kuwa moja ya sababu hizo.
Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.
Polisi ya nchi hiyo imeripoti kuwa, watu wenye silaha wamemshambulia mkuu wa ofisi ya ardhi katika eneo la Melaky na kumuua pamoja na rafiki yake. Katika hujuma hiyo watu wengine kadhaa pia wamejeruhiwa. Polisi wamesema kuwa, washambuliaji hao walianza kufyatua risasi kuilenga gari iliyokuwa imembeba afisa huyo wa ardhi pamoja na watu wengine aliokuwa ameambatana nao. Habari zaidi zinasema kuwa, licha ya polisi kufika eneo la tukio mapema, lakini walishindwa kukabiliana na watu hao wenye silaha, huku wakitoweka bila ya kutiwa mbaroni. Polisi imetangaza kuwa inaendelea kuwasaka wahusika wa hujuma hiyo, ambayo hadi sasa bado sababu za utekelezwaji wake hazijulikani, ingawa masuala ya kisiasa yanatajwa kuwa moja ya sababu hizo.
Watu wenye silaha wamefanya shambulizi magharibi mwa Madagascar na kuua watu wawili na kujeruhi wengine kadhaa katika eneo hilo.
Polisi ya nchi hiyo imeripoti kuwa, watu wenye silaha wamemshambulia mkuu wa ofisi ya ardhi katika eneo la Melaky na kumuua pamoja na rafiki yake. Katika hujuma hiyo watu wengine kadhaa pia wamejeruhiwa. Polisi wamesema kuwa, washambuliaji hao walianza kufyatua risasi kuilenga gari iliyokuwa imembeba afisa huyo wa ardhi pamoja na watu wengine aliokuwa ameambatana nao. Habari zaidi zinasema kuwa, licha ya polisi kufika eneo la tukio mapema, lakini walishindwa kukabiliana na watu hao wenye silaha, huku wakitoweka bila ya kutiwa mbaroni. Polisi imetangaza kuwa inaendelea kuwasaka wahusika wa hujuma hiyo, ambayo hadi sasa bado sababu za utekelezwaji wake hazijulikani, ingawa masuala ya kisiasa yanatajwa kuwa moja ya sababu hizo.
Wapiganaji wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab nchini Somalia wameuawa na askari wa serikali, kaskazini mwa nchi hiyo.
Ismail Khalifah Shira, kamanda wa jeshi la Somalia amethibitisha habari hiyo mapema leo na kuongeza kuwa, wanachama wa kundi hilo la kigaidi la ash-Shabab, wameuawa asubuhi ya leo katika eneo la Dainunay, lililopo karibu na mji wa Baidoa. Shira ameongeza kuwa, magaidi hao wameuawa baada ya kuvamia kambi ya jeshi la serikali katika eneo hilo kwa lengo la kutekeleza shambulizi la kushtukiza, na kwamba jaribio lao lilifeli baada ya askari kufahamu mapema njama hiyo na kuwaua magaidi hao katika eneo la tukio. Hata hivyo kamanda Ismail Khalifah Shira hakutaja hasara yoyote iliyopata jeshi katika hujuma hiyo. Hii ni katika hali ambayo kundi la ash-Shabab limedai kupata ushindi katika hujuma hiyo. Ripoti iliyotolewa na kundi hilo maarufu kwa kutenda jinai dhidi ya binaadamu, imedai kuwa wapiganaji wa ash-Shabab wamefanikiwa pia kudhibiti kambi ya kijeshi la eneo hilo la Dainunay. Aidha limeongeza kuwa, katika hujuma hiyo askari 10 wa serikali wameuawa.
Mwandishi mmoja wa eneo hilo ameambia BBC kwamba wanajeshi 20 waliuawa wakati wa shambulio hilo.
Kikosi cha Umoja wa Afrika (Amisom) kimesema kupitia Twitter kwamba shambulio hilo lilitokea lakini kikakanusha taarifa kwamba kambi hiyo ilidhibitiwa na wapiganaji hao.
Kambi hiyo inapatikana kilomita 30 kutoka mji wa Baidoa.
Image captionLucy kibaki na mkewe wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka 2007
Mke wa kwanza wa rais Lucy Kibaki amefariki katika hospitali mmoja mjini London kwa ugonjwa usiojulikana.
Lucy alipata umaarufu kwa kumchapa kofi mpiga picha mmoja mwaka 2005 wakati alipovamia afisi za kituo kimoja cha habari mwaka 2005 akikasirishwa na vile habari moja ilivyoandikwa.
Katika kumbukumbu ya kumuhenzi bi Kibaki rais wa Kewnya Uhuru Kenyatta alimsifu kwa jukumu lake kukabiliana na ugonjwa wa ukimwi nchini Kenya.
Image captionLucy Kibaki pamoja na aliyekuwa mke wa aliyekuwa rais wa Marekani George Bush ,Laura Bush.Picha kwa niaba ya Getty Images
Bwana Kenyatta alimrithi mumewe bwana Kibaki ambaye alitawala kutoka mwaka 2002 hadi 2013.
Bi Kibaki aliyezaliwa mwaka 1940,alijiondoa katika maisha ya hadharani wakati wa mwisho wa utawala wa mumewe.
Image captionLucy Kibaki na mumewe Mwai KIbaki wakiwapungia mkono wafuasi wao mda mchache baada ya kibaki kuwasilisha stakhabadhi zake za uchaguzi katika tume ya uchaguzi mwaka 2007.Picha ni kwa niaba ya Getty images
Mara ya mwisho kuonekana hadharani ni mwezi Agosti mwaka 2010,wakati alipofurahishwa na kupatikana kwa katiba mpya.
Image captionLucy Kibaki na mumewe aliyekuwa rais wa Kenya Mwai Kibaki pamoja na mkewe marehemu Kijana Wamalwa wakati wa misa ya kifo cha Wamalwa.Picha kwa niaba ya Getty Images
Bwana Kenyatta alisema kuwa alikuwa mgonjwa kwa kipindi cha mwezi mmoja uliopita ambapo amekuwa akipata matibabu nchini Kenya na Uingereza.Bi Kibaki ni mwalimu ambaye aliwacha kazi yake kabla ya ndoa yake na kibaki mwaka 1962 ili kuwalea wanawe.
Kamanda mwandamizi wa kundi la kigaidi la Ahrar al-Sham lenye
mafungamano na mtandao wa kimataifa wa al-Qaeda ameuawa katika hujuma ya
bomu iliyolenga ngome za kundi hilo katika mkoa wa Idlib, kaskazini
magharibi mwa Syria.
Majid Hussein al-Sadeq pamoja na magaidi wengine watatu waliuawa
katika shambulio la jana Jumamosi dhidi ya mji wa Binnish, unaohesabiwa
kuwa moja ya ngome za magaidi hao, yapata kilomita 10 kaskazini
mashariki mwa mkoa wa Idlib.
Julai mwaka jana, kamanda mwingine mkuu wa kundi la kigaidi la Ahrar
al-Sham kwa jina Abu Abdu Rahman Salqin aliuawa katika shambulio jingine
la bomu katika eneo la Abu Talha, mkoani Idlib.
Kwa muda mrefu sasa serikali ya Syria imekuwa ikisisitiza kuwa
magaidi nchini humo wanapata misaada ya fedha na silaha kutoka nchi za
Magharibi hasa Marekani na waitifaki wake katika eneo hili ambao ni
Saudi Arabia, Qatar, Uturuki na utawala haramu wa Israel. Karibu watu
nusu milioni wameshapoteza maisha tokea magaidi waanzishe kampeni ya
kumuondoa madarakani Rais Bashar al Assad wa Syria mwaka 2011.
Hii ni katika hali ambayo, Steffan de Mistura, Mjumbe maalumu wa
Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria amesema watu wapatao laki nne
wamepoteza maisha kutokana na vita vya zaidi ya miaka mitano
vilivyoikumba nchi hiyo ya Kiarabu.
Image caption
Mcheza miereka na nyota wa filamu za ngono Chyna afariki
Aliyekuwa mchezaji miereka na nyota wa filamu za ngono Chyna amefariki akiwa na umri wa miaka 45.
Meneja wake amethibitisha habari hiyo kupitia mtandao wake wa Twitter.
''Ni
masikitiko makubwa kutangaza kwamba tumempoteza shujaa'',ulisema ujumbe
huo,akiongezea kuwa:Ataishi kukumbukwa na mashabiki wake wengi na sisi
sote tuliompenda.
Chyna alipatikana amefariki nyumbani kwake
katika ufukwe wa bahari wa Redondo,mjini California,baada ya kurudi
nyumbani kutoka Japan.
Image caption
Chyna alipochumbiwa na mchezaji mwenza wa miereka
Mapema wiki hii alichapisha kanda ya video yenye
urefu wa dakika 13 ambapo anazungumza kuhusu kuanzisha biashara mpya ya
chakula.Alionekana akikosea baadhi ya maneno aliyokuwa akiyatamka na anaonekana amechanganyikiwa.
Alijitahidi
kukabiliana na dawa za kulevya wakati wote wa kazi yake na alionekana
katika kituo cha kuwarekebisha tabia watu maaruf
Image caption
Klabu ya Yanga ya Tanzania ilitolewa Ligi ya Mabingwa na Al Ahly
Klabu ya soka ya
Yanga ya Tanzania imepangwa kucheza na klabu ya GD Esperanca ya Angola
katika hatua ya mtoano ya timu 16 bora ya michuano ya Kombe la
Shirikisho.
Yanga iliangukia katika michuano hiyo ambayo ni ya
pili kwa ukubwa Afrika baada ya kufungwa na Al Ahly ya Misri kwa mabao
2-1 jana hivyo kuondolewa kutoka Ligi ya Mabingwa Afrika kwa jumla ya
mabao 3-2 katika mechi mbili walizokutana.
Katika hatua hiyo
Yanga wanatarajiwa kuanzia nyumbani kabla ya kwenda ugenini ambapo mechi
za mkondo wa kwanza zikitarajiwa kuchezwa Mei 6 na 8 huku zile za
marudiano zikitarajiwa kuchezwa Mei 17 na 18.
Baadhi ya mechi
zingine zilizopangwa katika ratiba hiyo wababe wa Azam FC, Esperance ya
Tunisia wao watavaana na MO Bejaia ya Algeria huku TP Mazembe
waliovuliwa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika wao wakipangwa kucheza na
Stade Gabesien ya Tunisia.
Image copyrightBBC World ServiceImage caption
Mirungi imepigwa marufuku katika baadhi ya nchi Ulaya
Rais wa Kenya Uhuru
Kenyatta ametangaza kwamba serikali yake itatenga dola za Kimarekani 10
milioni za kusaidia wakulima wa mirungi kwenye bajeti ya mwaka ujao wa
kifedha.
Wakulima hao wameathirika sana kufuatia hatua ya baadhi
ya nchi za Ulaya kupiga marufuku uuzaji wa mirungi, maarufu pia kama
miraa, katika mataifa hayo.
Hutumiwa sana na watu wa jamii ya
Wasomali na hutegemewa sana na jamii zianzoishi katika maeneo ya
mashariki ya Mlima Kenya, miongoni mwa watu wa jamii ya Wameru.
Pesa hizo zitatolewa kupitia Wizara ya Kilimo.
Rais Kenyatta ametangaza hayo alipokuwa akitia saini mswada unaotambua mirungi kuwa mmea wa kuzalishia taifa mapato kuwa sheria.
Sheria hiyo itaifanya serikali kuweka mikakati ya kutangaza, kuzalisha na kusambaza na kuuza zao hilo.
Rais
Kenyatta amesema kutaundwa pia jopo kazi la kuangazia changamoto
zinazokabili sekta ya ukuzaji wa mirungi ambayo itatoa mapendekezo kwa
serikali.
Adele ametangazwa kuwa mwanamuziki tajiri wa kike nchini Uingereza,kulingana na gazeti la Sunday Times.
Orodha
ya wanamuziki 50 mamilionea nchini Uingereza na Ireland inaonyesha
utajiri wa mwanamuziki huyo kuwa pauni milioni 85 katika nafasi ya 30
ikiwa amejiongezea pauni milioni 35 ikilinganishwa na mwaka uliopita.
Mwanamuziki
pekee wa kike mwenye utajiri katika orodha hiyo inayoorodhesha taifa la
Ireland ni mwanamke wa Ireland Enya mwenye utajiri wa pauni miloni 91.
Kwa mwaka wa tano mfululizo Adele ameorodheshwa katika kilele cha wanamuziki vijana wasio zidi umri wa miaka 30.
Image copyrightGetty ImagesImage caption
Adele akitumbuiza
Utajiri wa mwanamuziki huyo uliongezeka kufuatia kutolewa kwa albamu ya 25,ikiwa ni yake ya kwanza baada ya miaka minne.
Mwanamuziki huyo aliorodheshwa wa 9 mwaka 2011,lakini ilipofikia mwaka 2012 alikuwa kileleni hadi kufikia sasa.
Image copyrightGETTY IMAGESImage caption
Harusi ya wapenzi wa jinsia moja Uingereza
Serikali ya
Uingereza imewaonya wapenzi wa jinsia moja wanaosafiri kuelekea Marekani
kutokana na sheria dhidi yao katika majimbo ya North Carolina and
Mississippi.
Marekani ni jamii kubwa ilio na maoni tofauti.Sheria
mpya zilizopitishwa katika majimbo hayo zinaruhusu wafanyibiashara
kuamua iwapo wanaweza kuwahudumia watu wa jinsia hiyo au la.
Ushauri huo umetoka katika afisi ya maswala ya kigeni ya Uingereza.
Katika
jimbo la Carolina,sheria iliopitishwa na Gavana Pat McCrory inasema
kuwa watu waliobadili jinsia watumie msaala wa kuogea kulingana na
jinsia yao iliopo katika vyeti vyao vya kuzaliwa.
Sheria ya
Mississippi pia ina sheria kama hiyo na inawalinda wafanyibiashara wengi
kytoshtakiwa kwa kukataa kuwauzia wapenzi wa jinsia moja.
Image caption
Mcheza miereka na nyota wa filamu za ngono Chyna afariki
Aliyekuwa mchezaji miereka na nyota wa filamu za ngono Chyna amefariki akiwa na umri wa miaka 45.
Meneja wake amethibitisha habari hiyo kupitia mtandao wake wa Twitter.
''Ni
masikitiko makubwa kutangaza kwamba tumempoteza shujaa'',ulisema ujumbe
huo,akiongezea kuwa:Ataishi kukumbukwa na mashabiki wake wengi na sisi
sote tuliompenda.
Chyna alipatikana amefariki nyumbani kwake
katika ufukwe wa bahari wa Redondo,mjini California,baada ya kurudi
nyumbani kutoka Japan.
Image caption
Chyna alipochumbiwa na mchezaji mwenza wa miereka
Mapema wiki hii alichapisha kanda ya video yenye
urefu wa dakika 13 ambapo anazungumza kuhusu kuanzisha biashara mpya ya
chakula.
Alionekana akikosea baadhi ya maneno aliyokuwa akiyatamka na anaonekana amechanganyikiwa.
Alijitahidi
kukabiliana na dawa za kulevya wakati wote wa kazi yake na alionekana
katika kituo cha kuwarekebisha tabia watu maarufu mwaka 2008.
Image caption
Shirikisho la Soka la Nigeria linakabiliwa na mzozo wa uongozi
Mwanamume
aliyefariki ameteuliwa kusimamia mechi ya soka nchini Nigeria ambayo
itachezwa Jumapili, mwandishi wa BBC anayefuatilia masuala ya soka
Oluwashina Okeleji anasema.
Wale Akinsanya aliteuliwa kuwa mwamuzi
kwenye mechi baina ya Warri Wolves na Giwa FC katika mji wa Warri
kusini mwa Nigeria, gazeti la Punch la Nigeria limeripoti.
Hii ni
licha ya kwamba Akinsanya alifariki tarehe 22 Januari 2016 wakati wa
kufanywa kwa mtihani wa Fifa Cooper Test, ambao hutumiwa kuamua iwapo
marefarii wanatosha kuendelea kusimamia mechi.
Hatua ya mwanamke mmoja msomi ya kuvua nguo nchini Uganda imezua mjadala mkali nchini humo.
Baada
ya kukerwa na hatua ya kufungiwa nje ya ofisi yake na usimamizi wa chuo
kikuu cha Makerere, Stella Nyanzi alivua nguo zote kama njia ya
kupinga.
Hata hivyo mwishowe aliruhusiwa kuingia ofisini mwake.
Wengi wa wafuasi wake wanasema kuwa alilazimishwa kufanya hivyo kutoka
na yake alikuwa akitendewa.
Hata hivyo wale wanaomkosoa wanasema kwa amekiuka maadili na kwamba mwanamke hastahili kuwa uchi hadharani.
Gazeti la the New Vision nchini humo linasema kuwa waziri anayehusika na maadili anataka Nyanzi akamatwe.
Image copyrightAFPMuseum VictoriaImage caption
Jino hilo lilipatikana mwezi Februari
Jino kubwa la
nyangumi limepatikana ufukweni Australia, na kuwa thibitisho la kwanza
kwamba nyangumi wakubwa hatari sana waliishi mbali na Amerika.
Mkusanyaji
wa visukuku Murray Orr alipata jino hilo lenye urefu wa sentimeta 30
(inchi 12) ufukweni Beaumaris Bay karibu na mji wa Melbourne mwezi
Februari.
Alilikabidhi kwa makumbusho ya Victoria, ambayo yalianza kulionesha kwa umma Alhamisi.
Inakadiriwa
kwamba nyangumi mwenye jino hilo aliishi zaidi ya miaka milioni tano
iliyopita. Alitoka kwa aina ya nyangumi ambao siku hizi hawapatikani
duniani.
Nyangumi hao wanaaminika kuwa watangulizi wa nyangumi wakubwa wa sasa wajulikanao kwa Kiingereza kama "sperm whales". Image copyrightDominica Sperm Whale ProjectImage caption
Nyangumi wakubwa baharini
Hadi kupatikana kwa jino hilo Beaumaris, visukuku
vya nyangumi wakubwa vilikuwa vinapatikana pwani ya magharibi ya mabara
ya Amerika Kusini na Amerika Kaskazini.
Makavazi hiyo imesema nyangumi mwenye jino hilo huenda alikuwa na urefu wa mita 18 na uzani wa tani 40.
Image copyrightTHINKSTOCKImage caption
Wanopenda ngono na watoto kuhasiwa Kazakhstan
Sheria mpya
imeidhinishwa nchini Kazakhstan inayoruhusu utumiaji wa kemikali kuhasi
ili kuwaadhibu watu waliopatikana na hatia ya kufanya ngono na watoto.
Hatua hiyo ni mojwapo ya sheria mpya kulinda haki za watoto.
Afisi
ya mwendesha mashtaka mkuu wa Kazakhstani imesema kuwa visa vya watu
wanaopenda kufanya ngono na watoto vimeongezeka kwa asilimia 50 mwaka
uliopita.
Lakini wataalam wanasema kuwa kuhasi hakuna madhara makubwa ,hakudumu,hulazimika kurejelewa na ni ghali .
Polisi nchini Zambia wamesema watu wawili wamechomwa moto mjini Lusaka katika vurugu ya ubaguzi wa wenyeji dhidi ya wageni.
Watu
Zaidi ya mia mbili na hamsini wamekamatwa baada ya maduka mengi
yanayomilikiwa na wanyaruanda kuvamiwa.Uvamizi huo ulitokea baada ya
wanyaruanda kushutumiwa kuua watu na kutumia viungo vyao kuvutia wateja.
o
Padre Charles Chilinda ameiambia BBC kuwa kanisa lake linafanya
jitihada zote ili kuweza kuwasaidia wahanga ambao wamekwenda kuomba
hifadhi kanisani.
"Kitu ambacho tunaweza kuwapa ni kwamba
watakuwa na usalama wa kutosha kuwa hapo,tutaenda kuwaangalia na
kuwaeleza kuwa hawa sio wazambia ambao wanagombana nao.hali hii
haikubaliki ,kila mtu aliyepo katika ardhi ya Zambia analindwa na katiba
ya Zambia.Ni jukumu letu kudumisha Amani na tushirikiane katika
kulitokomeza hili
Image copyrightReutersImage caption
Uharibifu wa tetemeko la ardhi nchini Japan
Takriban watu tisa wameuwa wakati wa tetemeko kubwa la ardhi lililokumba eneo la kusini mwa Japan siku ya Alhamisi.
Tetemeko hilo lilitokea karibu na jiji la Kumamoto katika kisiwa cha Kyushu, kilomita 1,300 kusini magharibi mwa Tokyo.
Wengi wa waathiriwa ni kutoka mji wa Mashiki ambapo jengo moja liliporomoka na pia nyumba nyingi kuharibiwa.
Kote nchini humo, zaidi ya watu 40,000 waliondoka
manyumbani mwao lakini baadhi yao wameanza kurudi licha ya kuwepo
mitetemeko midogo midogo.
Waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe amesema kwa serikali imetuma polisi, wazema moto na wanajeshi kuendesha oparesheni za uokoaji.
Image copyrightAFPImage caption
Lakini inawezekanaje katika dunia ya sasa kwamba hakuna msichana hata mmoja alieweza kuokolewa?
Miaka miwili iyopita wiki kama hii , wasichana 267 walitekwa nyara kutoka shuleni kwao na wanamgambo wa Boko Haram .
Suala
lililolaaniwa vikali kimataifa na kuchochea kampeni ya mitandao ya
kijamii iliyojulikana kama #bringbackourgirls na kuweka wazi udhalimu
unaotekelezwa na makundi ya uasi Kaskazini Mashariki mwa Nigeria. Image caption
Shule ya Chibok ilivyobakia sasa
Zaidi ya vijana 200 wa kike hawajapatikana hadi leo .Katika
ripoti hii maalum mwandishi wa BBC Martin Patience alisafiri hadi
Chibok kuongea na familia za wasichana na kutembelea shule ambako
walitekwa nyara. Image caption
Msitu hapa ni mkubwa .. na ni rahisi sana kwa
wanamgambo wa Boko Haram kuvamia msafara wowote wa magari ya kijeshi
Barabara ya kuelekea Chibok imejaa vikwazo na
hatari hata hivyo tulisafiri katika msafara wa magari ya kijeshi
tukipitia vijiji vilivyotelekezwa .. kimoja baada ya kingine TaswiraKile kinachoonekana kama msikiti unaonekana kupigwa risasi kila mahali , Paa lake limeng'olewa ,
Hiki
kilikuwa ni kijiji ambacho huenda kilikua ni makaazi ya makumi kadhaa
familia , lakini kwa sasa hakuna mtu anayeishi hapa na vichaka vimemea
tena kijijini hapa
Msitu hapa ni mkubwa .. na ni rahisi sana kwa wanamgambo wa Boko Haram kuvamia msafara wowote wa magari ya kijeshi Image caption
Msikiti wa Chibok
Saa tatu baadae tuliwasili Chibok mahala kulikokuwa zamani soko maarufu la mji ambao kwa sasa halisikiki.CHIBOKLakini
wakati huo Boko Haram walipokuja kuwateka mamia ya wasichana wa eneo
hili walibaki na kumbukumbu za kutisha za usiku huo …..
Wazazi hapa wamebakia kusubiri majibu ya wapi waliko watoto wao.
Miongoni mwao ni Mariam Abubakar.
Mwanaye Han Satu alikua na umri wa miaka 17 alipotekwa … alipenda mitindo Image caption
Msafara wa jeshi la Nigeria
''Msichana wangu likua mchapakazi . Alipenda utani na alipenda mavazi.''''Muda mfupi tu kabla ya kuchukuliwa alikua ameniomba nimnunulie mashine ya kushona nguo''alisema Myrama Abubakar.
Mbele ya nyumba yake ya matope Maryama alivuta nguo alizoacha binti yake .
Alichukua vazi alilolipenda na kuliweka kwenye magoti yake . Image caption
Chibok
''Hii ni gauni aliyotakiwa kuvaa kwenye harusi ya rafiki yake siku moja baada ya kumaliza mitihani .Lakini mitihani haikufanyika . Nitaitunza gauni hii mpaka atakaporudi alisema mzazi huyo.
Na baade nilizungumza na Binta AbuBakar mama yake Maryam ambaye sasa angekua na miaka 19 - Image caption
Kundi la waandishi wa habari
''Kabla ya kwenda shuleni siku ile alikua anafanya
kazi katika duka angu la chakula . Aliweza kufanya mauzo ya dola
hamsini! alikua mzuri sana kuwavutia wateja , alikua mfanyabiashara
hodari . Hizii ndizo nyakati za mwisho nilizokua naye.Naomba
binti yangu arejee akiwa hai . Lakini kama haitakua hivyo natumai roho
yake italala kwa amani . Natumai kumbu kumbu za kutisha alizoziona
wakati alipotekwa yatakua ndio mateso yake ya mwisho ,alisema bi
AbuBakar. Image copyrightImage caption
Mwanaye Han Satu alikua na umri wa miaka 17 alipotekwa … alipenda mitindo
Miaka miwili baadaye hakuna taarifa kuhusu waliko
wasichana wa Chibok - Labda wako Chad ama Cameroon - kuna uwezekano
mkubwa wengi wao walilazimishwa kuolewa na wapiganaji.Maisha yanaendelea kurejea taratibu katika hali ya kawaida mjini Chibok na usalama unaimarika.
Lakini inawezekanaje katika dunia ya sasa kwamba hakuna msichana hata mmoja alieweza kuokolewa?
Image copyrightAFPImage caption
Lakini inawezekanaje katika dunia ya sasa kwamba hakuna msichana hata mmoja alieweza kuokolewa?
Miaka miwili iyopita wiki kama hii , wasichana 267 walitekwa nyara kutoka shuleni kwao na wanamgambo wa Boko Haram .
Suala
lililolaaniwa vikali kimataifa na kuchochea kampeni ya mitandao ya
kijamii iliyojulikana kama #bringbackourgirls na kuweka wazi udhalimu
unaotekelezwa na makundi ya uasi Kaskazini Mashariki mwa Nigeria. Image caption
Shule ya Chibok ilivyobakia sasa
Zaidi ya vijana 200 wa kike hawajapatikana hadi leo .
Katika
ripoti hii maalum mwandishi wa BBC Martin Patience alisafiri hadi
Chibok kuongea na familia za wasichana na kutembelea shule ambako
walitekwa nyara. Image caption
Msitu hapa ni mkubwa .. na ni rahisi sana kwa
wanamgambo wa Boko Haram kuvamia msafara wowote wa magari ya kijeshi
Barabara ya kuelekea Chibok imejaa vikwazo na
hatari hata hivyo tulisafiri katika msafara wa magari ya kijeshi
tukipitia vijiji vilivyotelekezwa .. kimoja baada ya kingine TaswiraKile kinachoonekana kama msikiti unaonekana kupigwa risasi kila mahali , Paa lake limeng'olewa ,
Hiki
kilikuwa ni kijiji ambacho huenda kilikua ni makaazi ya makumi kadhaa
familia , lakini kwa sasa hakuna mtu anayeishi hapa na vichaka vimemea
tena kijijini hapa
Msitu hapa ni mkubwa .. na ni rahisi sana kwa wanamgambo wa Boko Haram kuvamia msafara wowote wa magari ya kijeshi Image caption
Msikiti wa Chibok
Saa tatu baadae tuliwasili Chibok mahala kulikokuwa zamani soko maarufu la mji ambao kwa sasa halisikiki. CHIBOKLakini
wakati huo Boko Haram walipokuja kuwateka mamia ya wasichana wa eneo
hili walibaki na kumbukumbu za kutisha za usiku huo …..
Wazazi hapa wamebakia kusubiri majibu ya wapi waliko watoto wao.
Miongoni mwao ni Mariam Abubakar.
Mwanaye Han Satu alikua na umri wa miaka 17 alipotekwa … alipenda mitindo Image caption
Msafara wa jeshi la Nigeria
''Msichana wangu likua mchapakazi . Alipenda utani na alipenda mavazi.''
''Muda mfupi tu kabla ya kuchukuliwa alikua ameniomba nimnunulie mashine ya kushona nguo''alisema Myrama Abubakar.
Mbele ya nyumba yake ya matope Maryama alivuta nguo alizoacha binti yake .
Alichukua vazi alilolipenda na kuliweka kwenye magoti yake . Image caption
Chibok
''Hii ni gauni aliyotakiwa kuvaa kwenye harusi ya rafiki yake siku moja baada ya kumaliza mitihani .
Lakini mitihani haikufanyika . Nitaitunza gauni hii mpaka atakaporudi alisema mzazi huyo.
Na baade nilizungumza na Binta AbuBakar mama yake Maryam ambaye sasa angekua na miaka 19 - Image caption
Kundi la waandishi wa habari
''Kabla ya kwenda shuleni siku ile alikua anafanya
kazi katika duka angu la chakula . Aliweza kufanya mauzo ya dola
hamsini! alikua mzuri sana kuwavutia wateja , alikua mfanyabiashara
hodari . Hizii ndizo nyakati za mwisho nilizokua naye.
Naomba
binti yangu arejee akiwa hai . Lakini kama haitakua hivyo natumai roho
yake italala kwa amani . Natumai kumbu kumbu za kutisha alizoziona
wakati alipotekwa yatakua ndio mateso yake ya mwisho ,alisema bi
AbuBakar. Image copyrightImage caption
Mwanaye Han Satu alikua na umri wa miaka 17 alipotekwa … alipenda mitindo
Miaka miwili baadaye hakuna taarifa kuhusu waliko
wasichana wa Chibok - Labda wako Chad ama Cameroon - kuna uwezekano
mkubwa wengi wao walilazimishwa kuolewa na wapiganaji.
Maisha yanaendelea kurejea taratibu katika hali ya kawaida mjini Chibok na usalama unaimarika.
Lakini inawezekanaje katika dunia ya sasa kwamba hakuna msichana hata mmoja alieweza kuokolewa?